Wanafunzi wa Darasa la Tano walifanya somo la Sayansi kwa njia ya vitendo wakijifunza kuhusu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kupitia uchunguzi wa kuku. Shughuli hii iliwapa fursa ya kuona kwa uhalisia sehemu mbalimbali za mfumo wa mmeng’enyo na kuelewa kaz