WANAFUNZI WASHIRIKI MICHEZO KWA PAMOJA.
Mwili wenye afya huzaa akili timamu,siku maalumu ya michezo ambapo waalimu na wanafunzi wanahamia uwanjani.kuanzia soka la kusisimua,kukimbia,mpira wa miguu,kuruka kamba pamoja na michezo mbalimbali. #afya ni mtaji #michezo ni furaha